347 Like 19 Dislike
Kwenye On Air With Millard Ayo Rayvanny ameeleza jinsi alivyokutana Diamond na ilikuaje alivyotoka TipTop Connection kujiunga na WCB ya Diamond Platnumz
Izzo Buzness Mkali kutoka Bongoflevani kwa sasa ametuletea mdundo wake mpya ''RAFIKI'' lakini cha kufahamu kuhusu Izzo Buzness ametuelezea safari yake ya muziki alipofika DSM
Habari zote za Mastaa kutoka kila pande ya dunia utazipata hapa RICK MEDIA. Interviews, Live Events, Comedy & Udaku masaa 24. ........................................................... Contact Us : 0742447854 ------------------------------------------------------------------------------- Instagram https://www.instagram.com/rickmediatz/?hl=en --------------------------------------------------------------------------------- Facebook https://web.facebook.com/rickmediatz --------------------------------------------------------------------------------- Website www.rickmediatz.com ----------------------------------------------------------------------------------- #DUDUBAYA #NANDY #SOUDYBROWN
HATARI: Baba DIAMOND Ana KANSA, Dada Amlilia MAGUFULI "Msaidieni" Ni takribani wiki sasa tangu mwanadada Zubeda, atie kambi Bongo akitokea London kwa ajili ya kuja kumsaidia Baba wa Mwanamuziki nguli Bongo, Diamond Platnumz, ambaye hali yake kiafya ni mbaya kutokana na kusumbuliwa na maradhi ya miguu kwa muda mrefu kidogo. Dada huyo amesema lengo haswa lililomleta Bongo ni kutaka kumpatanisha Diamond na Baba yake ili aweze kumsaidia Mzee matibabu kama ambavyo anawasaidia watu wengine ambao hana hata undugu nao. #BabaDiamond #DiamondPlatnumz https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho
Kama muziki unaoupenda ni Bongofleva na umekua ukiufatilia toka kitambo, jina la Mikka Mwamba halitakua geni kwako sababu ni Producer Hodari ambae mikono yake ilihusika kuzisuka Hits kama 'Barua' ya Daz Nundaz, 'Salome' ya Dully Sykes, Album ya kwanza ya Saida Karoli, Elimu mitaani ya D Knob na nyingine nyingi. Ni wengi hawakua wanafahamu kwamba Mikka sio raia wa Tanzania au ni 'mtasha' na hiyo yote ni kwasababu aliamua toka kitambo asionekane kwenye Media wala kupigwa picha lakini leo amekubali kukaa kwenye ON AIR WITH MILLARD AYO. Jina lake la kuzaliwa ni Mikka Kari ambapo hilo Kari kwa nyumbani kwao Finland linamaanisha 'mwamba wa baharini'
Kwenye On Air With Millard Ayo Leo March 31 2017 tupo na Rayvanny kutoka WCB ambaye amepiga story nyingi na Asteria pia amegusia pia maisha yake wakati akiwa Tip Top Connection
Comments for video: